Logo

AFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS

KAMISHENI YA KUKABILIANA NA MAAFA ZANZIBAR

MFUMO WA USIMAMIZI WA MAAFA

Logo

✶ Jua Kali ✶ ✶ Tahadhari ya majaribio ✶ ✶ Kutakua na mvua kubwa kwa baadhi ya maeneo kuanzia kesho tarehe 17 April 2026 ✶


Elimu na Mafunzo

Jifunze zaidi kuhusu maafa, tahadhari, namna ya kujikinga na hatua za kuchukua kabla, wakati na baada ya janga.


Kuhusu Ajali za Baharini

ELIMU YA UOKOZI YA BAHARINI

Uokozi wa baharini ni shughuli ya kuokoa watu, vyombo (kama boti au meli), au mali zilizoko hatarini baharini au kwenye maji makubwa kama bahari, ziwa, au mto. Kwa kifupi, ni msaada wa haraka unaotolewa pale kunapokuwa na ajali au dharura majini.

Hii inaweza kujumuisha mambo kama:

Kuokoa watu waliopata ajali ya mashua au meli
Kusaidia watu wanaozama au waliokwama majini
Kutoa huduma ya kwanza kwa waliojeruhiwa
Kurejesha vyombo vilivyopotea au kuharibika

Kwa kawaida, uokozi huu hufanywa na vikosi maalum kama walinzi wa pwani, wanamaji, au vikundi vya uokoaji vilivyofundishwa.

Kwa ujumla, lengo kuu la uokozi wa baharini ni kuokoa maisha na kupunguza madhara yanayotokana na ajali za majini.
Hakuna picha, video au kiambatanisho kilichowekwa kwa elimu hii.

tahadhari

tahadhari juu ya ajali za harini kama ifuatavyo:
1. kuchukua life jacket wakati wa shughuli za baharini
2. kuchukuwa maji na chakula
3. kupata taarifa za utabiri wa hali ya hewa
tahadhari
tahadhari
tahadhari

MUHIMU UTABIRI WA HALI YA HEWA

ILI KUEPUSHA AJALI AU MAJANGA YA BAHARINI YANAYOTOKEA MARA KWA MARA MANAHODHA NA MABAHARIA WANATAKIWA KUFUATILIA TAARIFA SAHIHI KUTOKA MAMLAKA YA HALI YA HEWA ILI KUJUA USALAMA WA SAFARI ZAO
Hakuna picha, video au kiambatanisho kilichowekwa kwa elimu hii.

Kwa maswali yoyote ya kiteknolojia, tafadhali wasiliana na Timu ya Usaidizi wa ICT kupitia:
info@maafaznz.go.tz


Haki zote zimehifadhiwa © 2026 ZDMC. Toleo la Mfumo wa ZDMIS 1.0.0